Baadhi ya Huduma Zetu

📖

Kusambaza Biblia, Vitabu na Vifaa

Tuna maduka na magari ya yanayosambaza Biblia za watu wazima na watoto.

Agiza Biblia
📱

Soma Biblia App

Nunua, Soma, Sikiliza, Tazama na Jifunze Neno la Mungu popote ulipo kidijitali.

Pakua App
🎓

Soma Biblia kwa Njia ya Mtandao

Jifunze Biblia kupitia kozi zetu kwa manufaa zaidi. Yupo mwalimu wa kukushauri.

Jiunge hapa
📚

Tunachapisha Vitabu vya Kikristo

Vitabu vinavyokusaidia kukua katika mafundisho ya Neno la Mungu.

Nunua Vitabu
🎧

Tazama na Sikiliza

Tunaanda na kusambaza Video na sauti zenye ushuhuda wa kutia moyo.

Tazama Sasa

Soma Biblia ni nani?

Soma Biblia Society ni shirika la wahisani linalolenga kusambaza Injili ya Yesu Kristo kwa rika zote.

  • Biblia
    Vitabu vya Kikristo
    Magazeti ya Watoto na Wachungaji
    Kozi za Biblia Mtandaoni
    Soma Biblia App
    Programu za Vijana
    Vifaa vya Madhabahuni

Shabaha nyingine ni kuwasaidia Wakristo kufikisha Injili kwa watu na kuwafundisha kupitia neno la Mungu – juu ya imani na maisha.

HABARI KUTOKA SOMA BIBLIA

SOMA BIBLIA APP

Neno la Injili
Mkononi Mwako

Pakua Soma Biblia App leo na uweze kununua Biblia, Vitabu vya Kikristo, Vifaa vya Madhabahuni, kutazama video na kusikiliza shuhuda katika simu yako.

📖

Nunua Biblia

Nunua Biblia na vitabu vya Kikristo kwa urahisi.

🎧

Sikiliza

Sikiliza mafundisho na shuhuda za kiroho.

🎥

Tazama

Tazama video za Soma Biblia.

🎓

Jifunze

Jiunge na kozi za Biblia mtandaoni.

Pakua Soma Biblia App
Soma Biblia App

Mawasiliano

Idara ya Mauzo

Kama ukitafuta kitabu na bei yake, au kutaka kuagiza na kununua vitabu

Simu: +255 754 292 995 
Baruapepe: manager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 12772, Dar es Salaam, Tanzania              

Makao: Barabara ya Mwai Kibaki, Mikocheni B, upande wa pili wa Sanitas Medical Centre. Maduka yanapatikana Dar es Salaam (Mikocheni B & Mbezi Luis), Arusha, Mbeya, Mwanza, Dodoma na Iringa

Idara ya Uchapishaji

 Ukiwa na mswada au kutaka Soma Biblia kusambaza kitabu chako.

Simu: +255 787 392 951
Barua Pepe: publishingmanager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 2696, Arusha, Tanzania                  

Makao: Eneo la Sakina, upande wa pili wa sheli ya mafuta ya Oryx (kituo cha basi huitwa Oil Com). Fuata kibao cha Scripture Mission.

“Niliona moja ya kipeperushi chenu kikiwa chini maeneo ya stendi ya mabasi. Kimebadilisha maisha yangu.”

— Mtu Mmoja Alisema