Neno la Injili kwa Rika Zote!

Soma Biblia ni nani?

Soma Biblia Society ni shirika la wahisani linalolenga kusambaza Injili ya Yesu Kristo kwa rika zote. Shabaha nyingine ni kuwasaidia Wakristo kufikisha Injili kwa watu na kuwafundisha kupitia neno la Mungu – juu ya imani na maisha. Baadhi ya kazi zetu ni pamoja na:

Bidhaa maarufu dukani

Tuna bidhaa nyingi. Hizi ni baadhi ya bidhaa zinazopendwa sana na wasomaji na Wakristo wengi.

HABARI KUTOKA SOMA BIBLIA

📖 Soma Biblia App

Neno la Injili
Kiganjani Mwako

Pakua Soma Biblia App leo na uweze kununua Biblia, Vitabu vya Kikristo, Vifaa vya Madhabahuni, kutazama video na kusikiliza shuhuda katika simu yako.

10K+

Watumiaji wa App

500+

Vitabu na bidhaa

24/7

Inapatikana kila wakati

Soma Biblia App
📚 Maktaba ya Kidijitali
🎧 Sikiliza
🎥 Tazama Video

Kwa nini uchague Soma Biblia?

Tunakupa huduma zinazokusaidia kulijua Neno la Mungu, kukua katika imani na maisha.

Soma Biblia
Soma Biblia
Soma Biblia
Soma Biblia
Soma Biblia
Neno la Injili kwa Rika Zote
Vitabu vya Kikristo vya kuaminika
Huduma Tanzania nzima
Soma Biblia App ya Kiswahili na Kiingereza
Malipo rahisi na salama
Soma Biblia kwa Njia ya Mtandao
Huduma kwa makanisa
Huduma kwa vijana
Biblia za aina mbalimbali kwa bei nafuu
Vifaa vya madhabahuni
Huduma kwa wasiomjua Yesu bado

Ukuaji wa huduma yetu

Kwa miaka mingi, Soma Biblia imeendelea kuwa chombo cha kusaidia Kanisa na jamii kwa kusambaza Biblia, vitabu vya Kikristo na vifaa vya madhabahuni, vyote vikiwavuta watu kukua katika Neno la Mungu.

100 +

Tuna Aina Nyingi za Biblia

Biblia ni Neno la Mungu. Sisi tumeendelea kuwa chombo cha usambazaji kwa Kanisa na Jamii.

700 +

Vitabu na Vifaa vya Kanisa

Tunasambaza vitabu vya Kikristo ili watu wapate vifaa muhimu vya kujifunza Habari Njema za Wokovu wa Yesu Kristo.

10000 +

Tupo Kidijitali

Tunawafikia watu wengi kupitia tovuti, mitandao ya kijamii na App ya Soma Biblia.

8 +

Maduka ya Soma Biblia

Tunahakikisha tunawafikia Wakristo karibu ili wapate Maandiko na vifaa muhimu kwa gharama nafuu.

10 +

Miaka ya Huduma

Soma Biblia imeendelea kuhudumu, kukua na tupo tayari kusonga mbele.

SOMA BIBLIA TANZANIA
MATAWI YETU
08 Maduka
Ramani ya Tanzania yenye maeneo ya maduka ya Soma Biblia
Tawi la Soma Biblia
Tanzania
HAUPO KARIBU NA DUKA?

Maduka Yanayotembea

Magari yetu ya vitabu husafiri katika maeneo mbalimbali ya Tanzania ili kuwafikishia watu Biblia na vitabu vya Kikristo.

Angalia Huduma
Tupo hapa

Chagua Duka

08

Bofya duka lolote hapa chini au alama kwenye ramani ili kuona eneo na taarifa za duka husika.

DUKA ULILOCHAGUA Mikocheni B

Main Office — Barabara ya Mwai Kibaki, Mikocheni B, Dar es Salaam.

Taarifa za Duka Fungua kwenye Google Maps

Soma Biblia katika video

Tazama video mbalimbali zinazokusaidia kufahamu zaidi kuhusu Soma Biblia, huduma zetu, bidhaa na kazi yetu katika kusaidia Kanisa na jamii kukua katika Neno la Mungu.

Duka la Soma Biblia
Video
VIDEO ZAIDI

Tazama zaidi kutoka Soma Biblia

Duka la Soma Biblia VIDEO
SOMA BIBLIA

Duka la Soma Biblia

Angalia vitabu, Biblia na rasilimali za kujenga imani yako kila siku.

Dini na Maisha VIDEO
DINI NA MAISHA

Dini na Maisha

Tafakari maswali muhimu kuhusu imani, maisha na uhusiano wetu.

Katikati ya Majambazi VIDEO
FILAMU

Katikati ya Majambazi

Filamu yenye ujumbe kuhusu maisha, changamoto, uchaguzi na matumaini.

Ushuhuda wa wateja

Tunashukuru kwa watu wote wanaotumia vitabu na huduma za Soma Biblia.

Ungependa kujua zaidi kuhusu Soma Biblia?

Tumekusanya majibu ya maswali muhimu kuhusu oda, malipo, usafirishaji, App, kozi za mtandaoni na huduma za uchapishaji.

Unaweza kuagiza Biblia na vitabu vya Kikristo kupitia huduma za Soma Biblia. Kwa oda, upatikanaji wa kitabu au usafirishaji, wasiliana na Sales Manager au Main Office.

Gharama ya usafirishaji hutegemea eneo lako, ukubwa wa oda na njia ya usafirishaji. Kwa kiasi sahihi, wasiliana na Sales Manager kabla ya kuthibitisha oda.

Ndiyo. Soma Biblia App ina huduma na maudhui ya bure, huku baadhi ya vitabu na maudhui yakipatikana kwa ununuzi.

Kwa msaada kuhusu App, unaweza kumtafuta Cathbert Msemo au Jeremiah Msuya.

Utapewa maelekezo sahihi ya malipo wakati wa kuthibitisha oda yako. Kwa masuala ya malipo, uthibitisho wa fedha au risiti, wasiliana na Finance Manager.

Soma Biblia ina maduka katika maeneo mbalimbali Tanzania na pia husambaza Biblia na vitabu kupitia huduma za usafirishaji na mobile bookshops. Kwa eneo lako, wasiliana na Sales Manager.

Ndiyo. Unaweza kuchagua kuchukua oda yako kwenye duka la Soma Biblia baada ya oda kuthibitishwa. Tunashauri uthibitishe kwanza upatikanaji wa kitabu.

Wasiliana na Sales Manager au Main Office ili kuthibitisha upatikanaji wa kitabu kabla ya kuagiza.

Unaweza kujiunga kupitia Soma Biblia App au tovuti ya Soma Biblia. Kozi hizi zimeandaliwa kwa ajili ya kujifunza mafundisho ya Kikristo kwa njia ya mtandao.

Kozi ni bure isipokuwa gharama ya kitabu kinachohitajika kwenye kozi. Pia kuna Mshauri wa Kozi wa kukusaidia wakati wa kujifunza.

Ikiwa wewe ni mwandishi na ungependa kitabu chako kichapishwe au kisambazwe na Soma Biblia, wasiliana na Idara ya Uchapishaji ili kufahamu utaratibu na mahitaji ya kuwasilisha kazi yako.

Kwa maswali ya jumla kuhusu Soma Biblia, huduma zetu au jambo ambalo hujui ni idara gani inayohusika, unaweza kuanza kwa Main Office.

Kwa suala linalohitaji uongozi wa juu, unaweza kumtafuta Soma Biblia Director.

Kwa masuala ya malipo, uthibitisho wa fedha, risiti au taarifa za kifedha, tafadhali wasiliana moja kwa moja na Finance Manager.

?

Hatujapata swali hilo

Jaribu kutumia maneno mengine kutafuta swali lako.

BADO UNA SWALI?

Wasiliana nasi.

Hujapata jibu unalotafuta? Wasiliana moja kwa moja na timu ya Soma Biblia.

Tuanze pamoja Kusoma Vitabu na Biblia

Pata Biblia, vitabu vya Kikristo, mafundisho na vifaa mbalimbali vitakavyokusaidia kukua katika imani, kulijua Neno la Mungu zaidi na kupokea wokovu kupitia Yesu Kristo.